TANGAZA NASI HAPA

Wednesday, 1 March 2017

ENGLAND FA CUP; City yafuzu robo fainali....




 Manchester  City  ikicheza  nyumbani Etihad iliisambaratisha  timu  ya daraja  la  kwanzaHuddersfield Town magoli 5-1  na  kutinga  robo fainali.

Mjerumani, Leroy Sane  alifunga goli  la  kwanza dakika ya 30’ mshambulizi  wa  Argentina  Sergio  Aguero  akafunga  mara  mbili  dakika  za 35’ kwa  njia  ya  mkwaju  wa  penalty,na dakika  ya  73’, mlinzi  Pablo  Zabaleta alifunga  pia  dakika  ya 38’,  na  goli  la  tano  lilifungwa  na  raia  wa  Nigeria, Kelechi Iheanacho dakika  ya  90’. Goli  la  kufutia  machozi  la  wageni  lilifungwa na Harry Bunn dakika ya 7’.

No comments:

Post a Comment