TANGAZA NASI HAPA

Tuesday, 28 February 2017

LIGI KUU ENGLAND: Liverpool yapigwa 3-1 na Leicester City





IKICHEZA kwa  mara  ya  kwanza  chini  ya  kocha Craig Shakespeare mabingwa  watetezi  wa  ligi  kuu  England, Leicester  City  imefanikiwa kupata  ushindi  wa  sita  msimu  huu  baada  ya  kuifunga  Liverpool mabao  3-1 katika  uwanja  wa King  Power usiku  wa  Jumatyatu  hii.
 Mshambulizi  wa  England, Jamie  Vard  alifunga  mara  mbili  katika  dakika  za 28’, 60’,  na Danny Drinkwater aliwafungia  wenyeji  hao  goli  linguine  dakika  ya  39’. Ushindi  huo  umewaondoa  Leicester  kutoka  nafasi  ya  18 na  kuwapandisha  hadi  nafasi  ya 15. Goli pekee  la  Liverpool  lilifungwa  na  Mbrazil,  Phillipe   Countinho  dakika  ya  68’.

No comments:

Post a Comment