NEWCASTLLE
walitumia dakika tisa za
mwisho kutoka nyuma 1-0
na kuibuka na
ushindi muhimu dhidi
ya Brighton na ‘kukwea’ kileleni
mwa msimamo wa
ligi daraja la
kwanza –Championship kwa tofauti
ya pointi mbili.
Mshambulizi ‘veterani’
Glenn Murray alifunga kwa
mkwaju wa penalty dakika
ya 14 na kuwapa
wenyeji uongozi ambao
uliwafanya kuwa mbele
kwa pointi nne
dhidi ya Newcastle.
Mohamed Diame
alisawazisha goli hilo
dakika ya 81’,
na Ayoze Perez akapiga la ushindi
dakika moja kabla
ya kumalizika kwa
mchezo na kuwapa
ushindi wa 2-1
vijana wa kocha
Rafael Benitez
MATOKEO YA MICHEZO MINGINE YA
USIKU WA JUMANNE
FT Aston Villa 2 - 0 Bristol
City
FT Blackburn Rovers 1 - 0 Derby
County
FT Brighton & Hove Albion 1 - 2 Newcastle
United
No comments:
Post a Comment